14 Katika siku njema uwe mwema,+ na katika siku yenye msiba ona kwamba Mungu wa kweli ameifanya hata hii sawasawa na ile,+ ili wanadamu wasipate kuvumbua chochote baada yao.+
6 Nitamtuma yeye juu ya taifa lenye kuasi imani,+ nami nitampa amri juu ya watu wa ghadhabu yangu,+ ili kuchukua nyara nyingi na kuchukua uporaji mwingi na kuwafanya kuwa mahali pa kukanyaga kama udongo wa barabara.+