Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mungu akasema:+ “Kuwe na nuru.” Kukawa na nuru.+

  • Zaburi 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ninapoziona mbingu zako, kazi za vidole vyako,+

      Mwezi na nyota ambazo umetayarisha,+

  • Yeremia 31:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Yehova, Mpaji wa jua kwa ajili ya nuru wakati wa mchana,+ sheria+ za mwezi+ na nyota kwa ajili ya nuru wakati wa usiku,+ Yeye anayeichafua bahari ili mawimbi yake yawe na mchafuko,+ Yeye ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ amesema hivi:

  • Yakobo 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kila zawadi njema+ na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ kwa maana hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ naye habadiliki, kama kugeuka kwa kivuli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki