7 Kwa njia yake tuna kuachiliwa huru kwa njia ya fidia kupitia damu+ ya huyo, ndiyo, msamaha+ wa makosa yetu, kulingana na utajiri wa fadhili zake zisizostahiliwa.+
7 ili katika mifumo ya mambo inayokuja+ uonyeshwe utajiri+ mwingi zaidi wa fadhili zake zisizostahiliwa katika neema yake kutuelekea sisi katika muungano+ na Kristo Yesu.