Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Je, bado unajiendesha kwa majivuno juu ya watu wangu kwa kutowaruhusu waende zao?+

  • Kutoka 16:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi Yehova akamwambia Musa: “Ninyi watu mtaendelea kukataa kushika amri zangu na sheria zangu mpaka wakati gani?+

  • Methali 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kabla ya kuanguka moyo wa mwanadamu huwa na kiburi,+ na kabla ya utukufu kuna unyenyekevu.+

  • Isaya 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Macho yenye majivuno ya mtu wa udongo yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitainama;+ na Yehova peke yake atainuliwa juu siku hiyo.+

  • Yeremia 13:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Mwambie mfalme na malkia,+ ‘Ketini mahali pa chini,+ kwa maana hakika taji lenu la urembo litashuka kutoka juu ya vichwa vyenu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki