Kutoka 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Je, bado unajiendesha kwa majivuno juu ya watu wangu kwa kutowaruhusu waende zao?+ Kutoka 16:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi Yehova akamwambia Musa: “Ninyi watu mtaendelea kukataa kushika amri zangu na sheria zangu mpaka wakati gani?+ Methali 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kabla ya kuanguka moyo wa mwanadamu huwa na kiburi,+ na kabla ya utukufu kuna unyenyekevu.+ Isaya 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Macho yenye majivuno ya mtu wa udongo yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitainama;+ na Yehova peke yake atainuliwa juu siku hiyo.+ Yeremia 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Mwambie mfalme na malkia,+ ‘Ketini mahali pa chini,+ kwa maana hakika taji lenu la urembo litashuka kutoka juu ya vichwa vyenu.’+
28 Basi Yehova akamwambia Musa: “Ninyi watu mtaendelea kukataa kushika amri zangu na sheria zangu mpaka wakati gani?+
11 Macho yenye majivuno ya mtu wa udongo yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitainama;+ na Yehova peke yake atainuliwa juu siku hiyo.+
18 “Mwambie mfalme na malkia,+ ‘Ketini mahali pa chini,+ kwa maana hakika taji lenu la urembo litashuka kutoka juu ya vichwa vyenu.’+