Hesabu 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mwishowe Yehova akamwambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunitendea bila heshima+ mpaka wakati gani,+ nao watakosa kuniamini mpaka wakati gani ijapokuwa ishara zote ambazo nilifanya katikati yao?+ 2 Wafalme 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 nao hawakusikiliza lakini wakaendelea kufanya shingo zao kuwa ngumu+ kama shingo za mababu zao ambao hawakuonyesha imani+ katika Yehova Mungu wao; Zaburi 78:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hawakulishika agano la Mungu,+Nao wakakataa kutembea katika sheria yake.+ Zaburi 81:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Laiti watu wangu wangekuwa wakinisikiliza,+Laiti Israeli angetembea katika njia zangu!+ Zaburi 106:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Upesi wakasahau kazi zake;+Hawakungojea shauri lake.+ Luka 16:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Lakini akamwambia, ‘Ikiwa hawamsikilizi Musa+ na Manabii, wala hawatasadikishwa ikiwa mtu fulani atafufuliwa kutoka kwa wafu.’ ”
11 Mwishowe Yehova akamwambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunitendea bila heshima+ mpaka wakati gani,+ nao watakosa kuniamini mpaka wakati gani ijapokuwa ishara zote ambazo nilifanya katikati yao?+
14 nao hawakusikiliza lakini wakaendelea kufanya shingo zao kuwa ngumu+ kama shingo za mababu zao ambao hawakuonyesha imani+ katika Yehova Mungu wao;
31 Lakini akamwambia, ‘Ikiwa hawamsikilizi Musa+ na Manabii, wala hawatasadikishwa ikiwa mtu fulani atafufuliwa kutoka kwa wafu.’ ”