Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mwishowe Yehova akamwambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunitendea bila heshima+ mpaka wakati gani,+ nao watakosa kuniamini mpaka wakati gani ijapokuwa ishara zote ambazo nilifanya katikati yao?+

  • 2 Wafalme 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 nao hawakusikiliza lakini wakaendelea kufanya shingo zao kuwa ngumu+ kama shingo za mababu zao ambao hawakuonyesha imani+ katika Yehova Mungu wao;

  • Zaburi 78:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hawakulishika agano la Mungu,+

      Nao wakakataa kutembea katika sheria yake.+

  • Zaburi 81:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Laiti watu wangu wangekuwa wakinisikiliza,+

      Laiti Israeli angetembea katika njia zangu!+

  • Zaburi 106:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Upesi wakasahau kazi zake;+

      Hawakungojea shauri lake.+

  • Luka 16:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Lakini akamwambia, ‘Ikiwa hawamsikilizi Musa+ na Manabii, wala hawatasadikishwa ikiwa mtu fulani atafufuliwa kutoka kwa wafu.’ ”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki