Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Israeli Na Mataifa Yaliyolizunguka
    ‘Ona Nchi Nzuri’
    • Mataifa Ambayo Yangeondolewa

      Mungu aliwaambia Waisraeli ‘waondolee mbali mataifa saba yenye hesabu kubwa ya watu’—Wahiti, Wagirgashi, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi—ambao walipaswa kuangamizwa. Watu hao walikuwa na mazoea yaliyopotoka kidini na kiadili. Baadhi ya miungu waliyoabudu ilitia ndani Baali (aliyewakilishwa na nguzo za mawe zilizokuwa na umbo la uume), Moleki (ambaye watoto walitolewa dhabihu kwake), na Ashtorethi (Astarte), mungu wa kike wa nguvu za uzazi.—Kum 7:1-4; 12:31; Kut 23:23; Law 18:21-25; 20:2-5; Amu 2:11-14; Zb 106:37, 38.

  • Israeli Na Mataifa Yaliyolizunguka
    ‘Ona Nchi Nzuri’
    • D10 WAAMORI

  • Israeli Na Mataifa Yaliyolizunguka
    ‘Ona Nchi Nzuri’
    • E6 WAHIVI

      E7 WAYEBUSI

  • Israeli Na Mataifa Yaliyolizunguka
    ‘Ona Nchi Nzuri’
    • E9 WAHITI

  • Israeli Na Mataifa Yaliyolizunguka
    ‘Ona Nchi Nzuri’
    • F4 WAGIRGASHI

  • Israeli Na Mataifa Yaliyolizunguka
    ‘Ona Nchi Nzuri’
    • F7 WAPERIZI

  • Israeli Na Mataifa Yaliyolizunguka
    ‘Ona Nchi Nzuri’
    • G2 WAHIVI

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki