25 Leo nitaanza kutia hofu kwa ajili yako na woga kwa ajili yako mbele ya watu chini ya mbingu zote, ambao watasikia habari juu yako; nao watafadhaika na kuwa na maumivu kama yale ya kuzaa kwa sababu yako.’+
9 Naye akawaambia wanaume hao: “Najua hakika ya kwamba Yehova atawapa nchi hii,+ na ya kwamba tumeshikwa na hofu kwa sababu yenu,+ na ya kwamba wakaaji wote wa nchi wamevunjika moyo kwa sababu yenu.+
12 Basi nikapeleka hisia ya kuvunjika moyo mbele yenu, nayo mwishowe ikawafukuza mbele yenu+—wafalme wawili wa Waamori—haikuwa kwa upanga wenu wala kwa upinde wenu.+