1 Mambo ya Nyakati 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo Yoabu na watu waliokuwa pamoja naye wakasonga mbele kuwaelekea Wasiria vitani,+ nao wakakimbia+ kutoka mbele yake. Zaburi 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hakuna mfalme anayeokolewa kwa wingi wa majeshi yake;+Mtu mwenye nguvu haokolewi kwa wingi wa nguvu.+
14 Ndipo Yoabu na watu waliokuwa pamoja naye wakasonga mbele kuwaelekea Wasiria vitani,+ nao wakakimbia+ kutoka mbele yake.
16 Hakuna mfalme anayeokolewa kwa wingi wa majeshi yake;+Mtu mwenye nguvu haokolewi kwa wingi wa nguvu.+