1 Mambo ya Nyakati 19:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Watumishi wa Hadadezeri walipoona kwamba wameshindwa na Waisraeli,+ mara moja wakafanya amani na Daudi, wakawa watumishi wake;+ na Wasiria hawakutaka kuwasaidia tena Waamoni.
19 Watumishi wa Hadadezeri walipoona kwamba wameshindwa na Waisraeli,+ mara moja wakafanya amani na Daudi, wakawa watumishi wake;+ na Wasiria hawakutaka kuwasaidia tena Waamoni.