2 Samweli 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi wana wa Amoni wakaona kwamba Wasiria wamekimbia, nao wakakimbia kutoka mbele ya Abishai, kisha wakaingia ndani ya jiji.+ Halafu Yoabu akarudi kutoka kwa wana wa Amoni, akaja Yerusalemu.+
14 Basi wana wa Amoni wakaona kwamba Wasiria wamekimbia, nao wakakimbia kutoka mbele ya Abishai, kisha wakaingia ndani ya jiji.+ Halafu Yoabu akarudi kutoka kwa wana wa Amoni, akaja Yerusalemu.+