1 Mambo ya Nyakati 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi wana wa Amoni wakaona kwamba Wasiria wamekimbia, nao pia wakakimbia+ kutoka mbele ya Abishai ndugu yake, kisha wakaingia ndani ya jiji. Baadaye Yoabu akaingia Yerusalemu.+
15 Basi wana wa Amoni wakaona kwamba Wasiria wamekimbia, nao pia wakakimbia+ kutoka mbele ya Abishai ndugu yake, kisha wakaingia ndani ya jiji. Baadaye Yoabu akaingia Yerusalemu.+