2 Ndipo Daudi akasema: “Nitamtendea kwa upendo mshikamanifu+ Hanuni mwana wa Nahashi, kwa sababu baba yake alinitendea kwa upendo mshikamanifu.” Basi Daudi akawatuma wajumbe ili wamfariji baada ya kufiwa na baba yake. Lakini watumishi wa Daudi walipofika katika nchi ya Waamoni+ kumfariji Hanuni,