Kutoka 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wakawaambia mara moja: “Yehova na awatazame ninyi na kuhukumu,+ kwa kuwa mmetufanya tunuke vibaya+ mbele ya Farao na mbele ya watumishi wake kwa kuutia upanga mkononi mwao watuue.”+ Methali 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mwanamume mwenye fadhili zenye upendo anaitendea kwa kuipa thawabu nafsi yake mwenyewe,+ lakini mtu mkatili anajiletea taabu.+
21 Wakawaambia mara moja: “Yehova na awatazame ninyi na kuhukumu,+ kwa kuwa mmetufanya tunuke vibaya+ mbele ya Farao na mbele ya watumishi wake kwa kuutia upanga mkononi mwao watuue.”+
17 Mwanamume mwenye fadhili zenye upendo anaitendea kwa kuipa thawabu nafsi yake mwenyewe,+ lakini mtu mkatili anajiletea taabu.+