Yoshua 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo Yehova akamwambia Yoshua: “Leo nimeondolea mbali aibu ya Misri itoke juu yenu.”+ Basi jina la mahali hapo likaitwa Gilgali+ mpaka leo hii. 1 Samweli 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye akasafiri mwaka baada ya mwaka na kufanya mzunguko wa Betheli+ na Gilgali+ na Mispa+ na kuhukumu Israeli+ katika sehemu hizo zote. 1 Samweli 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Baadaye Samweli akawaambia watu: “Njooni, twende Gilgali,+ ili tuufanye upya ufalme huko.”+
9 Ndipo Yehova akamwambia Yoshua: “Leo nimeondolea mbali aibu ya Misri itoke juu yenu.”+ Basi jina la mahali hapo likaitwa Gilgali+ mpaka leo hii.
16 Naye akasafiri mwaka baada ya mwaka na kufanya mzunguko wa Betheli+ na Gilgali+ na Mispa+ na kuhukumu Israeli+ katika sehemu hizo zote.