7 Na mpaka huo ukapanda hadi Debiri katika nchi tambarare ya chini ya Akori+ na kugeuka kuelekea kaskazini hadi Gilgali,+ lililo mbele ya mpando wa Adumimu, ambao uko upande wa kusini wa bonde la mto; na mpaka huo ukaendelea hadi kwenye maji ya En-shemeshi,+ na mwisho wake ukawa En-rogeli.+