-
2 Wakorintho 2:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Niliandika mambo hayo, ili, nitakapokuja, nisihuzunishwe na wale ambao ninapaswa kushangilia juu yao, kwa sababu nina uhakika kwamba kile kinachonipa shangwe kinawapa ninyi nyote shangwe hiyohiyo.
-
-
2 Wakorintho 2:3Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
3 Na kwa hiyo niliandika jambo hilihili, ili, nijapo, nisipate kuhuzunika kwa sababu ya wale ambao juu yao napaswa kushangilia; kwa sababu nina uhakika katika nyinyi nyote kwamba shangwe niliyo nayo ni ile yenu nyote.
-