-
2 Wakorintho 2:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Niliandika mambo hayo, ili, nitakapokuja, nisihuzunishwe na wale ambao ninapaswa kushangilia juu yao, kwa sababu nina uhakika kwamba kile kinachonipa shangwe kinawapa ninyi nyote shangwe hiyohiyo.
-