Methali 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nafsi yenye ukarimu hiyo yenyewe itanoneshwa,+ naye anayenywesha wengine kwa ukarimu yeye mwenyewe pia atanyweshwa kwa ukarimu.+ Yakobo 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+
25 Nafsi yenye ukarimu hiyo yenyewe itanoneshwa,+ naye anayenywesha wengine kwa ukarimu yeye mwenyewe pia atanyweshwa kwa ukarimu.+
27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+