Methali 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mjumbe mwovu ataanguka katika jambo baya,+ lakini mjumbe mwaminifu huponya.+ Wafilipi 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Hata hivyo, naona ni lazima nimtume kwenu Epafrodito,+ ndugu yangu na mfanyakazi mwenzi+ na askari-jeshi mwenzi,+ lakini mjumbe wenu na mtumishi wa kibinafsi kwa ajili ya uhitaji wangu,
25 Hata hivyo, naona ni lazima nimtume kwenu Epafrodito,+ ndugu yangu na mfanyakazi mwenzi+ na askari-jeshi mwenzi,+ lakini mjumbe wenu na mtumishi wa kibinafsi kwa ajili ya uhitaji wangu,