Zaburi 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+ Methali 26:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa midomo yake, mtu mwenye chuki hujificha asitambuliwe, lakini ndani yake huweka udanganyifu.+
2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+