Zaburi 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Maneno ya kinywa changu na kutafakari kwa moyo wangu+Na yawe yenye kupendeza mbele zako, Ee Yehova Mwamba+ wangu na Mkombozi wangu.+ Isaya 43:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yehova, Mkombozi wenu,+ Mtakatifu wa Israeli,+ amesema hivi: “Nitatuma ujumbe huko Babiloni kwa ajili yenu na kuyashusha mapingo ya magereza,+ na Wakaldayo katika meli kwa vilio vyao vya kulalamika.+ Isaya 47:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Kuna Yeye anayetukomboa.+ Yehova wa majeshi ni jina lake,+ Mtakatifu wa Israeli.”+
14 Maneno ya kinywa changu na kutafakari kwa moyo wangu+Na yawe yenye kupendeza mbele zako, Ee Yehova Mwamba+ wangu na Mkombozi wangu.+
14 Yehova, Mkombozi wenu,+ Mtakatifu wa Israeli,+ amesema hivi: “Nitatuma ujumbe huko Babiloni kwa ajili yenu na kuyashusha mapingo ya magereza,+ na Wakaldayo katika meli kwa vilio vyao vya kulalamika.+