Yoshua 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo Yehova akamwambia Yoshua: “Usiwaogope,+ kwa maana nimewatia hao mkononi mwako.+ Hakuna mtu yeyote kati yao atakayesimama juu yako.”+ Zaburi 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+ Nitamwogopa nani?+Yehova ni ngome ya uhai wangu.+Nitamhofu nani?+ Zaburi 46:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Kwetu Mungu ni kimbilio na nguvu,+Msaada unaopatikana kwa utayari wakati wataabu.+
8 Ndipo Yehova akamwambia Yoshua: “Usiwaogope,+ kwa maana nimewatia hao mkononi mwako.+ Hakuna mtu yeyote kati yao atakayesimama juu yako.”+
27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+ Nitamwogopa nani?+Yehova ni ngome ya uhai wangu.+Nitamhofu nani?+