Yoshua 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Yehova akamwambia Yoshua: “Usiwaogope+ kwa sababu kesho, wakati kama huu, nitawatia wote mikononi mwa Waisraeli, nanyi mtawaangamiza. Mtakata mishipa ya miguu ya farasi wao,+ na kuyachoma moto magari yao.”
6 Ndipo Yehova akamwambia Yoshua: “Usiwaogope+ kwa sababu kesho, wakati kama huu, nitawatia wote mikononi mwa Waisraeli, nanyi mtawaangamiza. Mtakata mishipa ya miguu ya farasi wao,+ na kuyachoma moto magari yao.”