Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nasi tukateka majiji yake yote wakati huo. Hakukuwa na mji wowote ambao hatukuuchukua kutoka kwao, majiji 60,+ eneo lote la Argobu,+ ufalme wa Ogu katika Bashani.+

  • Kumbukumbu la Torati 4:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 yaani, Beseri+ katika nyika kwenye nchi tambarare ya juu kwa ajili ya Warubeni, na Ramothi+ katika Gileadi kwa ajili ya Wagadi, na Golani+ katika Bashani kwa ajili ya Wamanase.+

  • Yoshua 12:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na eneo la Ogu+ mfalme wa Bashani, lile lililobaki la Warefaimu,+ waliokaa katika Ashtarothi+ na Edrei,+

  • Yoshua 20:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na katika eneo la Yordani, kule Yeriko, upande wa mashariki wakatoa Beseri+ nyikani kwenye nchi tambarare ya juu kutoka katika kabila la Rubeni,+ na Ramothi+ katika Gileadi kutoka katika kabila la Gadi, na Golani+ katika Bashani kutoka katika kabila la Manase.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki