Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nao hawakuwasikiliza hata waamuzi wao, lakini wakafanya uasherati+ na miungu mingine+ na kuiinamia. Waligeuka upesi kutoka katika njia ambayo mababu zao walikuwa wametembea kwa kutii amri za Yehova.+ Wao hawakufanya hivyo.

  • Waamuzi 8:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na ikawa kwamba mara tu Gideoni alipokufa, wana wa Israeli wakaanza tena kufanya uasherati na Mabaali,+ nao wakamfanya Baal-berithi kuwa mungu wao.+

  • 2 Wafalme 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 nao wakaendelea kujisimamishia nguzo takatifu+ na miti mitakatifu+ juu ya kila kilima+ kirefu na chini ya kila mti wenye majani mengi;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki