1 Mambo ya Nyakati 5:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini hawakutenda kwa uaminifu kumwelekea Mungu wa mababu zao, wakafanya ukahaba na miungu ya mataifa yaliyokuwa nchini,+ mataifa ambayo Mungu alikuwa ameyaangamiza kutoka mbele yao.
25 Lakini hawakutenda kwa uaminifu kumwelekea Mungu wa mababu zao, wakafanya ukahaba na miungu ya mataifa yaliyokuwa nchini,+ mataifa ambayo Mungu alikuwa ameyaangamiza kutoka mbele yao.