16 Mwishowe Yehoashi akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa katika Samaria+ pamoja na wafalme wa Israeli, na Yeroboamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.
28 Kwa habari ya mambo mengine ya Yeroboamu na yote ambayo aliyafanya na uwezo wake, jinsi alivyopigana na jinsi alivyorudisha Damasko+ na Hamathi+ kwa Yuda katika Israeli, je, hayakuandikwa katika kitabu cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli?