Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Katika mwezi wa kwanza, siku ya 14 ya mwezi huo, wakati wa jioni mtakula keki zisizo na chachu mpaka siku ya 21 ya mwezi wakati wa jioni.+

  • Kutoka 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Nimeyasikia manung’uniko ya wana wa Israeli.+ Sema nao, na kuwaambia, ‘Katikati ya zile jioni mbili mtakula nyama na asubuhi mtashiba mkate;+ nanyi hakika mtajua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu.’”+

  • Mambo ya Walawi 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Katika mwezi wa kwanza, katika siku ya kumi na nne ya mwezi huo,+ katikati ya zile jioni mbili ni pasaka+ kwa Yehova.

  • Hesabu 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Katika siku ya kumi na nne ya mwezi huu katikati ya zile jioni mbili+ mtaitayarisha katika wakati wake uliowekwa. Kulingana na sheria zake zote na utaratibu wake wote wa kawaida mtaitayarisha.”+

  • Kumbukumbu la Torati 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Bali mahali ambapo Yehova Mungu wako atapachagua ili jina lake likae,+ hapo utatoa dhabihu ya pasaka wakati wa jioni mara tu baada ya jua kutua,+ wakati uliowekwa wa kutoka kwenu Misri.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki