Kutoka 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye Musa akawaambia watu: “Na ikumbukwe siku hii ambayo mlitoka Misri,+ katika nyumba ya watumwa, kwa sababu kwa nguvu za mkono Yehova aliwatoa hapa.+ Basi chochote kilicho na chachu kisiliwe.+ Mambo ya Walawi 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu ni sherehe kwa Yehova ya keki zisizo na chachu.+ Kwa siku saba mtakula keki zisizo na chachu.+ Hesabu 28:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na siku ya kumi na tano ya mwezi huu itakuwa sherehe. Keki zisizo na chachu zitaliwa kwa siku saba.+ 1 Wakorintho 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo na tufanye sherehe,+ si kwa chachu+ ya zamani, wala si kwa chachu+ ya ubaya na uovu,+ bali kwa keki zisizo na chachu za unyoofu na kweli.+
3 Naye Musa akawaambia watu: “Na ikumbukwe siku hii ambayo mlitoka Misri,+ katika nyumba ya watumwa, kwa sababu kwa nguvu za mkono Yehova aliwatoa hapa.+ Basi chochote kilicho na chachu kisiliwe.+
6 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu ni sherehe kwa Yehova ya keki zisizo na chachu.+ Kwa siku saba mtakula keki zisizo na chachu.+
17 Na siku ya kumi na tano ya mwezi huu itakuwa sherehe. Keki zisizo na chachu zitaliwa kwa siku saba.+
8 Kwa hiyo na tufanye sherehe,+ si kwa chachu+ ya zamani, wala si kwa chachu+ ya ubaya na uovu,+ bali kwa keki zisizo na chachu za unyoofu na kweli.+