Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Yehova akamwambia Musa: “Sasa utaona nitakayomtendea Farao,+ maana kwa sababu ya mkono wenye nguvu atawaruhusu waende zao na kwa sababu ya mkono wenye nguvu atawafukuza watoke katika nchi yake.”+

  • Kumbukumbu la Torati 4:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Au je, Mungu alijaribu kuja kuchukua taifa kwa ajili yake mwenyewe kutoka kati ya taifa lingine kwa uthibitisho,+ kwa ishara+ na kwa miujiza+ na kwa vita+ na kwa mkono wenye nguvu+ na kwa mkono ulionyooshwa+ na kwa woga mkuu+ kama yote ambayo Yehova Mungu wenu amewafanyia ninyi katika Misri mbele ya macho yako?

  • Nehemia 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo ukatoa ishara na miujiza juu ya Farao na watumishi wake wote na watu wote wa nchi yake,+ kwa maana ulijua kwamba walitenda kwa kimbelembele+ juu yao; nawe ukajifanyia jina+ kama ilivyo leo hii.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki