31 Usimfanyie hivyo Yehova Mungu wako,+ kwa maana kila kitu kinachochukiza kwa Yehova, ambacho anachukia wameifanyia miungu yao, kwa maana hata wana wao na binti zao wao huwateketeza motoni kwa ukawaida kwa ajili ya miungu yao.+
4 Nami niliendelea kuwatuma kwenu watumishi wangu wote manabii, nikiamka mapema na kuwatuma,+ nikisema: “Tafadhali, msifanye chukizo la aina hii ambalo nimelichukia.”+