26 “‘Na katika siku ya matunda yaliyoiva ya kwanza,+ mtakapomtolea Yehova toleo la nafaka mpya, katika sherehe yenu ya majuma+ mtafanya mkusanyiko mtakatifu. Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote.+
16 “Mara tatu katika mwaka kila mwanamume wa kwako ataonekana mbele za Yehova Mungu wako katika mahali ambapo atapachagua:+ katika sherehe ya keki zisizo na chachu+ na katika sherehe ya majuma+ na katika sherehe ya vibanda,+ na mtu yeyote asionekane mbele za Yehova mikono mitupu.+