Marko 12:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Kwa hiyo akawaita wanafunzi wake na kuwaambia: “Kwa kweli ninawaambia kwamba mjane huyu maskini ametumbukiza nyingi kuliko wote waliokuwa wakitumbukiza pesa ndani ya masanduku ya hazina;+ 2 Wakorintho 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana ikiwa utayari upo kwanza, hukubalika zaidi kulingana na kile ambacho mtu anacho,+ si kulingana na kile ambacho mtu hana.
43 Kwa hiyo akawaita wanafunzi wake na kuwaambia: “Kwa kweli ninawaambia kwamba mjane huyu maskini ametumbukiza nyingi kuliko wote waliokuwa wakitumbukiza pesa ndani ya masanduku ya hazina;+
12 Kwa maana ikiwa utayari upo kwanza, hukubalika zaidi kulingana na kile ambacho mtu anacho,+ si kulingana na kile ambacho mtu hana.