Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘Hata hivyo, ikiwa hana uwezo wa kutoa kondoo,+ basi atamletea Yehova njiwa-tetere+ wawili au hua wawili wachanga wawe toleo lake la hatia+ kwa ajili ya dhambi ambayo ametenda, mmoja kwa ajili ya toleo la dhambi na mmoja kwa ajili ya toleo la kuteketezwa.

  • Mambo ya Walawi 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “‘Sasa ikiwa hana uwezo+ wa kutoa njiwa-tetere wawili au hua wawili wachanga, basi ataleta sehemu ya kumi ya efa+ ya unga laini kwa ajili ya toleo la dhambi, uwe toleo lake la dhambi. Naye hatatia mafuta+ juu yake wala hataweka ubani juu yake, kwa maana ni toleo la dhambi.+

  • Mambo ya Walawi 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini ikiwa hana uwezo wa kutosha wa kutoa kondoo, basi atachukua njiwa-tetere wawili au hua wachanga wawili,+ mmoja kwa ajili ya toleo la kuteketezwa na yule mwingine kwa ajili ya toleo la dhambi, naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yake, naye atakuwa safi.’”

  • Mambo ya Walawi 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Hata hivyo, ikiwa yeye ni wa hali ya chini+ naye hana mapato ya kutosha,+ basi atachukua mwana-kondoo dume mmoja akiwa toleo la hatia kwa ajili ya toleo la kutikisa ili kufanya upatanisho kwa ajili yake na sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliotiwa mafuta ukiwa toleo la nafaka na logi ya mafuta,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki