14 “‘Hata hivyo, ikiwa toleo lake la kuteketezwa kwa Yehova ni toleo linalotoka kati ya ndege, basi atatoa toleo lake kutoka kati ya njiwa-tetere+ au hua wachanga.+
14 Na katika siku ya nane atajichukulia njiwa-tetere+ wawili au hua wawili wachanga, naye atakuja mbele za Yehova kwenye mwingilio wa hema la mkutano na kumpa kuhani.