Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini ikiwa hana uwezo wa kutosha wa kutoa kondoo, basi atachukua njiwa-tetere wawili au hua wachanga wawili,+ mmoja kwa ajili ya toleo la kuteketezwa na yule mwingine kwa ajili ya toleo la dhambi, naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yake, naye atakuwa safi.’”

  • Mambo ya Walawi 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Hata hivyo, ikiwa yeye ni wa hali ya chini+ naye hana mapato ya kutosha,+ basi atachukua mwana-kondoo dume mmoja akiwa toleo la hatia kwa ajili ya toleo la kutikisa ili kufanya upatanisho kwa ajili yake na sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliotiwa mafuta ukiwa toleo la nafaka na logi ya mafuta,

  • 2 Wakorintho 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana ikiwa utayari upo kwanza, hukubalika zaidi kulingana na kile ambacho mtu anacho,+ si kulingana na kile ambacho mtu hana.

  • Yakobo 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Sikilizeni, ndugu zangu wapendwa. Mungu alichagua walio maskini+ kwa habari ya ulimwengu ili wawe matajiri+ katika imani na warithi wa ufalme, aliowaahidi wale wanaompenda,+ sivyo?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki