Kumbukumbu la Torati 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nawe lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo+ wako wote na kwa nafsi+ yako yote na kwa nguvu+ zako zote. 2 Mambo ya Nyakati 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Yehova akamwambia Daudi baba yangu, ‘Kwa sababu lilikuwa jambo lililo moyoni mwako kujenga nyumba kwa ajili ya jina langu, ulifanya vema, kwa sababu lilikuwa jambo lililo moyoni mwako.+ 2 Wakorintho 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana ikiwa utayari upo kwanza, hukubalika zaidi kulingana na kile ambacho mtu anacho,+ si kulingana na kile ambacho mtu hana.
5 Nawe lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo+ wako wote na kwa nafsi+ yako yote na kwa nguvu+ zako zote.
8 Lakini Yehova akamwambia Daudi baba yangu, ‘Kwa sababu lilikuwa jambo lililo moyoni mwako kujenga nyumba kwa ajili ya jina langu, ulifanya vema, kwa sababu lilikuwa jambo lililo moyoni mwako.+
12 Kwa maana ikiwa utayari upo kwanza, hukubalika zaidi kulingana na kile ambacho mtu anacho,+ si kulingana na kile ambacho mtu hana.