-
1 Mambo ya Nyakati 28:1Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 Kisha Daudi akawakusanya Yerusalemu wakuu wote wa Israeli: wakuu wa makabila, viongozi wa vikundi+ vilivyomhudumia mfalme, wakuu wa maelfu na wakuu wa mamia,+ wasimamizi wa mali zote za mfalme na mifugo yake+ na wa wanawe,+ pamoja na maofisa wa makao ya mfalme na kila mwanamume hodari mwenye uwezo.+
-