25 Azmavethi mwana wa Adieli ndiye aliyesimamia hazina za mfalme.+ Yonathani mwana wa Uzia alisimamia maghala yaliyokuwa* mashambani, katika majiji, vijijini, na katika minara.
29 Shitrai Msharoni alisimamia makundi ya ng’ombe yaliyolisha kule Sharoni,+ na Shafati mwana wa Adlai alisimamia makundi ya ng’ombe katika mabonde tambarare.*