1 Mambo ya Nyakati 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Pia alimpa uzito wa dhahabu safi kwa ajili ya madhabahu ya uvumba+ na kwa ajili ya mfano wa lile gari,+ yaani, wale makerubi+ wa dhahabu walionyoosha mabawa yao na kulifunika sanduku la agano la Yehova. 1 Mambo ya Nyakati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 28:18 Ufahamu, uku. 431
18 Pia alimpa uzito wa dhahabu safi kwa ajili ya madhabahu ya uvumba+ na kwa ajili ya mfano wa lile gari,+ yaani, wale makerubi+ wa dhahabu walionyoosha mabawa yao na kulifunika sanduku la agano la Yehova.