Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 25:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Makerubi hao watakuwa wamenyoosha mabawa yao mawili kuelekea juu, na hivyo kukifunika kifuniko hicho kwa mabawa yao,+ nao wataelekeana. Nyuso za makerubi hao zitatazama kifuniko.

  • 1 Samweli 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi watu wakawatuma wanaume kwenda Shilo, nao wakachukua kutoka huko sanduku la agano la Yehova wa majeshi, anayeketi akiwa mfalme juu ya* makerubi.+ Na wana wawili wa Eli, yaani, Hofni na Finehasi,+ walikuwa huko pia pamoja na sanduku la agano la Mungu wa kweli.

  • 1 Wafalme 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Katika chumba cha ndani zaidi alitengeneza makerubi wawili+ kwa mbao za msonobari,* kila kerubi alikuwa na kimo cha mikono kumi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki