7 Kwa hiyo mabawa ya makerubi yalikuwa yamenyooshwa juu ya mahali ambapo Sanduku liliwekwa, hivi kwamba makerubi hao walilifunika Sanduku na fito zake.+
18 Pia alimpa uzito wa dhahabu safi kwa ajili ya madhabahu ya uvumba+ na kwa ajili ya mfano wa lile gari,+ yaani, wale makerubi+ wa dhahabu walionyoosha mabawa yao na kulifunika sanduku la agano la Yehova.