1 Mambo ya Nyakati 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 na kwa madhabahu ya uvumba+ dhahabu safi kulingana na uzito na kwa ajili ya mfano wa gari,+ yaani, wale makerubi+ wa dhahabu kwa ajili ya kutandaza mabawa yao na kusitiri sanduku la agano la Yehova. 1 Mambo ya Nyakati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 28:18 Ufahamu, uku. 431
18 na kwa madhabahu ya uvumba+ dhahabu safi kulingana na uzito na kwa ajili ya mfano wa gari,+ yaani, wale makerubi+ wa dhahabu kwa ajili ya kutandaza mabawa yao na kusitiri sanduku la agano la Yehova.