20 Na makerubi hao watakuwa wamenyoosha mabawa yao kuelekea juu, wakifunika kifuniko hicho kwa mabawa yao, nyuso zao zikielekeana.+ Nyuso za makerubi hao zitaelekea kifuniko.
4 Basi watu wakatuma ujumbe huko Shilo na kuchukua kutoka huko sanduku la agano la Yehova wa majeshi, anayeketi juu ya makerubi.+ Na wale wana wawili wa Eli walikuwa hapo pamoja na sanduku la agano la Mungu wa kweli, yaani, Hofni na Finehasi.+