Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 3:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na basi akamfukuza huyo mtu, akaweka upande wa mashariki wa bustani ya Edeni+ makerubi+ na upanga unaowaka ambao ulikuwa unajizungusha-zungusha ili kuilinda njia ya kwenda kwenye ule mti wa uzima.

  • 2 Wafalme 19:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na Hezekia akaanza kusali+ mbele za Yehova na kusema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli,+ unayeketi juu ya makerubi,+ wewe peke yako ndiye Mungu wa kweli wa falme+ zote za dunia.+ Wewe mwenyewe umezifanya mbingu+ na dunia.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kisha akatengeneza makerubi+ wawili katika nyumba ya Patakatifu Zaidi kwa kutumia ufundi wa kufanya mifano, akawafunika kwa dhahabu.+

  • Zaburi 99:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 99 Yehova amekuwa mfalme.+ Vikundi vya watu na vifadhaike.+

      Anaketi juu ya makerubi.+ Dunia na itetemeke.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki