89 Kila mara Musa alipoingia katika hema la mkutano kuongea na Mungu,+ alisikia sauti ikizungumza naye kutoka juu ya kifuniko+ cha sanduku la Ushahidi, kutoka katikati ya wale makerubi wawili;+ Mungu aliongea naye.
15 Hezekia akaanza kusali+ mbele za Yehova akisema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli, unayeketi kwenye kiti cha ufalme juu ya* makerubi,+ wewe peke yako ndiye Mungu wa kweli wa falme zote za dunia.+ Uliumba mbingu na dunia.