Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 33:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kila mara Musa alipoingia katika hema hilo, ile nguzo ya wingu+ ilishuka chini na kusimama kwenye mlango wa hema hilo Mungu alipokuwa akiongea na Musa.+

  • Hesabu 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nitashuka+ na kuzungumza nawe hapo,+ nami nitachukua kiasi fulani cha roho+ iliyo juu yako na kuiweka juu yao, nao watakusaidia kubeba mzigo wa watu hawa ili usiubebe peke yako.+

  • Hesabu 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mimi huongea naye uso kwa uso,*+ waziwazi, wala si kwa mafumbo; naye huona uwepo wangu, mimi Yehova. Kwa nini, basi, hamkuogopa kusema vibaya kumhusu Musa, mtumishi wangu?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki