24 Basi akamfukuza mtu huyo, akaweka upande wa mashariki wa bustani ya Edeni makerubi+ na upanga unaowaka uliokuwa ukizunguka mfululizo ili kuilinda njia ya kwenda kwenye mti wa uzima.
15 Hezekia akaanza kusali+ mbele za Yehova akisema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli, unayeketi kwenye kiti cha ufalme juu ya* makerubi,+ wewe peke yako ndiye Mungu wa kweli wa falme zote za dunia.+ Uliumba mbingu na dunia.