Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 3:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi akamfukuza mtu huyo, akaweka upande wa mashariki wa bustani ya Edeni makerubi+ na upanga unaowaka uliokuwa ukizunguka mfululizo ili kuilinda njia ya kwenda kwenye mti wa uzima.

  • 2 Wafalme 19:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Hezekia akaanza kusali+ mbele za Yehova akisema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli, unayeketi kwenye kiti cha ufalme juu ya* makerubi,+ wewe peke yako ndiye Mungu wa kweli wa falme zote za dunia.+ Uliumba mbingu na dunia.

  • Zaburi 99:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 99 Yehova amekuwa Mfalme.+ Mataifa na yatetemeke.

      Anaketi kwenye kiti cha ufalme juu ya* makerubi.+ Dunia na itikisike.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki