1 Mambo ya Nyakati 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Daudi akasema: “Mkono wa Yehova ulikuwa juu yangu, naye alinipa ufahamu wa kuandika+ mambo yote kuhusu ramani hii ya ujenzi.”+
19 Daudi akasema: “Mkono wa Yehova ulikuwa juu yangu, naye alinipa ufahamu wa kuandika+ mambo yote kuhusu ramani hii ya ujenzi.”+