8 Tena akatengeneza meza kumi, akaziweka katika hekalu, tano upande wa kuume na tano upande wa kushoto,+ halafu akatengeneza mabakuli mia moja ya dhahabu.
19 Na Sulemani akatengeneza vyombo+ vyote vilivyokuwa katika nyumba ya Mungu wa kweli na ile madhabahu ya dhahabu+ na zile meza+ zenye ule mkate wa wonyesho juu yake,